Mwanzo 30:20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 20 Lea akasema: “Mungu amenipa mimi zawadi, naam, amenipa mimi zawadi nzuri. Hatimaye, mume wangu atanivumilia,+ kwa maana nimemzalia wana sita.”+ Basi akampa jina Zabuloni.*+ Mwanzo 46:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Wana wa Zabuloni+ walikuwa Seredi, Eloni, na Yahleeli.+
20 Lea akasema: “Mungu amenipa mimi zawadi, naam, amenipa mimi zawadi nzuri. Hatimaye, mume wangu atanivumilia,+ kwa maana nimemzalia wana sita.”+ Basi akampa jina Zabuloni.*+