-
Mwanzo 37:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Tulikuwa tukifunga matita ya masuke katikati ya shamba kisha tita langu likainuka na kusimama wima, nayo matita yenu yakalizunguka tita langu na kuliinamia.”+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 5:1, 2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Hawa ndio wana wa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Israeli. Yeye ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza, lakini kwa sababu alikichafua* kitanda cha baba yake,+ haki yake ya mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yosefu+ mwana wa Israeli, kwa hiyo hakuandikishwa katika orodha ya ukoo kwamba ana haki ya mzaliwa wa kwanza. 2 Ingawa Yuda+ alikuwa mkuu kuliko ndugu zake na kiongozi alitoka kwake,+ haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu.
-