Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wenu atakapowarudisha mateka wenu+ na kuwaonyesha ninyi rehema+ na kuwakusanya tena kutoka katika mataifa yote ambako Yehova Mungu wenu aliwatawanya.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 9 Kwa maana mkirudi kwa Yehova, ndugu zenu na wana wenu wataonyeshwa rehema na wale waliowateka,+ nao wataruhusiwa kurudi katika nchi hii;+ kwa maana Yehova Mungu wenu ni mwenye huruma* na rehema,+ naye hataugeuza uso wake mbali nanyi mkirudi kwake.”+

  • Nehemia 9:31
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 31 Na kwa sababu ya rehema zako nyingi, hukuwaangamiza+ wala kuwaacha, kwa maana wewe ni Mungu mwenye huruma* na rehema.+

  • Isaya 54:7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  7 “Kwa maana nilikuacha kwa muda mfupi,

      Lakini nitakukusanya tena kwa rehema nyingi.+

  • Isaya 55:7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki