-
Kutoka 18:17, 18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 Baba mkwe wa Musa akamwambia: “Jambo unalofanya si zuri. 18 Kwa hakika utachoka, wewe na watu hawa walio pamoja nawe, kwa sababu mzigo huu ni mkubwa sana kwako na huwezi kuubeba peke yako.
-
-
Hesabu 11:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Kisha Musa akamwambia Yehova: “Kwa nini unanitesa mimi mtumishi wako? Kwa nini hupendezwi nami, hivi kwamba umenitwika mzigo wa watu wote hawa?+
-
-
Hesabu 20:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Watu wakagombana na Musa+ wakisema: “Laiti tungekufa ndugu zetu walipokufa mbele za Yehova!
-