-
Kutoka 23:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 “Hupaswi kukubali rushwa, kwa maana rushwa huwapofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu wenye haki.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 16:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 “Mnapaswa kuwaweka waamuzi+ na maofisa kwa ajili ya kila kabila katika majiji yenu yote ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, nao lazima wawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.
-
-
Yohana 7:24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Acheni kuhukumu kwa kutazama sura ya nje tu, bali hukumuni kwa uadilifu.”+
-