17 “Usiitamani nyumba ya jirani yako. Usimtamani mke wa jirani yako+ wala mtumwa wake wala kijakazi wake wala ng’ombe dume wake wala punda wake wala kitu chochote cha jirani yako.”+
7 Basi, tuseme nini? Je, Sheria ni dhambi? La hasha! Kwa kweli, singejua dhambi ikiwa Sheria haingekuwapo.+ Kwa mfano, mimi singejua tamaa ikiwa Sheria haingesema: “Usitamani.”+