-
Kumbukumbu la Torati 12:31Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
31 Msimfanyie hivyo Yehova Mungu wenu, kwa sababu mataifa hayo yanaifanyia miungu yao kila jambo linalochukiza ambalo Yehova anachukia, hata kuwateketeza motoni wana na mabinti wao kwa ajili ya miungu yao.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 18:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 “Mtakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, msijifunze kuiga mazoea yenye kuchukiza ya mataifa hayo.+
-