-
Mambo ya Walawi 20:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Mwanamume yeyote Mwisraeli na mgeni yeyote anayeishi katika nchi ya Israeli atakayemtoa mtoto wake dhabihu kwa Moleki ni lazima auawe.+ Watu wote wanapaswa kumuua kwa kumpiga mawe.
-