-
Mambo ya Walawi 11:43Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
43 Msinifanye niwachukie kwa kula kiumbe yeyote kati ya viumbe hao, msijitie unajisi na kuwa watu wasio safi.+
-
-
Matendo 10:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Lakini Petro akajibu: “Hapana Bwana, kwa maana sijawahi kula kitu chochote kilicho najisi na kisicho safi.”+
-