-
Hesabu 20:29Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
29 Waisraeli wote walipoona kwamba Haruni amekufa, nyumba yote ya Israeli ikamwombolezea Haruni kwa siku 30.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 34:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Waisraeli walimlilia Musa katika jangwa tambarare la Moabu kwa siku 30.+ Kisha siku za kumlilia na kumwombolezea Musa zikaisha.
-