-
Mambo ya Walawi 20:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 “‘Ifuatayo ni sheria kuhusu mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine: Mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake lazima auawe; mwanamume huyo na mwanamke aliyefanya naye uzinzi lazima wauawe.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 5:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 “‘Wala usifanye uzinzi.+
-
-
1 Wathesalonike 4:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Mtu yeyote hapaswi kuvuka mipaka inayofaa na kumdhulumu ndugu yake katika jambo hilo, kwa sababu Yehova* ndiye hutoa adhabu kwa mambo yote haya, kama tulivyowaambia mapema na pia kuwaonya kwa uthabiti.
-