-
Kumbukumbu la Torati 14:28, 29Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
28 “Mwishoni mwa kila miaka mitatu mnapaswa kuleta sehemu yote ya kumi ya mazao yenu ya mwaka huo na kuyahifadhi ndani ya majiji yenu.+ 29 Kisha Mlawi, ambaye hana fungu wala urithi kati yenu, mkaaji mgeni, yatima, na mjane aliye ndani ya majiji yenu atakuja kula na kushiba,+ ili Yehova Mungu wenu awabariki katika mambo yote mnayofanya.+
-
-
Methali 14:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Anayemdharau jirani yake anatenda dhambi,
Lakini yeyote anayewahurumia watu wa hali ya chini ni mwenye furaha.+
-