-
Mambo ya Walawi 7:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Nyama za dhabihu za ushirika zinazotolewa ili kuonyesha shukrani zinapaswa kuliwa siku ambayo dhabihu hiyo ya shukrani inatolewa. Nyama yoyote ya dhabihu hiyo haipaswi kuachwa mpaka asubuhi.+
-