-
Kutoka 4:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Yehova akamuuliza: “Ni nani aliyemuumbia mwanadamu kinywa, au ni nani anayewafanya wawe bubu, viziwi, waone vizuri, au wawe vipofu? Je, si mimi, Yehova?
-