-
2 Mambo ya Nyakati 12:8, 9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Lakini watakuwa watumishi wake, ili wajue tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa* nchi nyingine.”
9 Basi Mfalme Shishaki wa Misri akashambulia Yerusalemu. Akachukua hazina za nyumba ya Yehova+ na hazina za nyumba ya* mfalme. Alichukua kila kitu, kutia ndani ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+
-
-
Yeremia 5:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Na wakiuliza, ‘Kwa nini Yehova Mungu wetu ametutendea mambo haya yote?’ mtawajibu, ‘Kama mlivyoniacha ili kumtumikia mungu wa kigeni katika nchi yenu, ndivyo mtakavyowatumikia wageni katika nchi isiyo yenu.’”+
-