Yeremia 4:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Tazameni! Atakuja kama mawingu ya mvua,Na magari yake ni kama upepo wa dhoruba.+ Farasi wake wanakimbia kwa kasi kuliko tai.+ Ole wetu, kwa sababu tumeangamia! Hosea 8:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 “Pigeni pembe!+ Adui anakuja kama tai kuivamia nyumba ya Yehova,+Kwa sababu wamelivunja agano langu+ na kuasi sheria yangu.+
13 Tazameni! Atakuja kama mawingu ya mvua,Na magari yake ni kama upepo wa dhoruba.+ Farasi wake wanakimbia kwa kasi kuliko tai.+ Ole wetu, kwa sababu tumeangamia!
8 “Pigeni pembe!+ Adui anakuja kama tai kuivamia nyumba ya Yehova,+Kwa sababu wamelivunja agano langu+ na kuasi sheria yangu.+