Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 18 Yehova atatawala akiwa mfalme milele na milele.+

  • 1 Samweli 10:19
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 19 Lakini leo mmemkataa Mungu wenu+ aliyekuwa Mwokozi wenu aliyewaokoa kutoka katika maovu yenu yote na taabu zenu, nanyi mlisema: “Hatutaki, unapaswa kumweka mfalme atutawale.” Sasa simameni mbele za Yehova kulingana na makabila yenu na kulingana na maelfu yenu.’”*

  • Isaya 33:22
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+

      Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+

      Yehova ni Mfalme wetu;+

      Yeye Ndiye atakayetuokoa.+

  • Isaya 43:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Mimi ni Yehova, Mtakatifu wenu,+ Muumba wa Israeli,+ Mfalme wenu.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki