-
Mwanzo 16:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Malaika wa Yehova akaendelea kusema: “Sasa una mimba, nawe utazaa mwana, nawe unapaswa kumpa jina Ishmaeli,* kwa maana Yehova amesikia mateso yako.
-
-
Mwanzo 28:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 kwa hiyo Esau akaenda kwa Ishmaeli mwana wa Abrahamu na kumwoa Mahalathi binti ya Ishmaeli, dada ya Nebayothi, kuongezea wake wengine aliokuwa nao.+
-