Waamuzi 8:33 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 33 Mara tu baada ya Gideoni kufa, Waisraeli wakaanza tena kufanya ukahaba wa kiroho na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+
33 Mara tu baada ya Gideoni kufa, Waisraeli wakaanza tena kufanya ukahaba wa kiroho na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+