-
Mambo ya Walawi 27:30Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
30 “‘Kila sehemu ya kumi+ ya mazao ya ardhi au matunda ni mali ya Yehova. Sehemu hiyo ni takatifu kwa Yehova.
-
-
Hesabu 18:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 “Ona kwamba nimewapa wana wa Lawi kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao, utumishi wa hema la mkutano.
-