Nehemia 3:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Kuhani mkuu Eliashibu+ na ndugu zake makuhani wakaanza kujenga Lango la Kondoo.+ Wakalitakasa*+ na kuweka milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ na mpaka kwenye Mnara wa Hananeli.+ Nehemia 13:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Sasa kabla ya wakati huo, kuhani aliyesimamia maghala* ya nyumba ya* Mungu wetu+ alikuwa Eliashibu,+ mtu wa ukoo wa Tobia.+
3 Kuhani mkuu Eliashibu+ na ndugu zake makuhani wakaanza kujenga Lango la Kondoo.+ Wakalitakasa*+ na kuweka milango yake; wakalitakasa mpaka kwenye Mnara wa Mea,+ na mpaka kwenye Mnara wa Hananeli.+
4 Sasa kabla ya wakati huo, kuhani aliyesimamia maghala* ya nyumba ya* Mungu wetu+ alikuwa Eliashibu,+ mtu wa ukoo wa Tobia.+