-
Ayubu 5:8, 9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Lakini mimi ningemsihi Mungu,
Nami ningewasilisha kesi yangu kwa Mungu,
9 Kwa Yule anayetenda mambo makuu na yasiyochunguzika,
Mambo yenye kustaajabisha yasiyohesabika.
-
-
Ayubu 11:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Laiti ungeutayarisha moyo wako
Na kumnyooshea mikono yako.
-
-
Ayubu 22:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 Ukimrudia Mweza-Yote, utarudishiwa hali njema;+
Ukiondoa uovu katika hema lako,
-