-
Ayubu 8:11-13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Je, mafunjo yanaweza kusitawi katika eneo lisilo na umajimaji?
Je, utete unaweza kusitawi bila maji?
12 Hata kabla haujachanua, kabla haujakatwa,
Utakauka kabla ya mmea mwingine wowote.
-