Ayubu 33:8-10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Lakini nilisikia ukisema,Naam, niliendelea kusikia maneno haya, 9 ‘Mimi ni safi, sina dhambi;+Mimi ni safi, sina kosa.+ 10 Lakini Mungu anatafuta sababu za kunipinga;Ananiona kuwa adui yake.+
8 Lakini nilisikia ukisema,Naam, niliendelea kusikia maneno haya, 9 ‘Mimi ni safi, sina dhambi;+Mimi ni safi, sina kosa.+ 10 Lakini Mungu anatafuta sababu za kunipinga;Ananiona kuwa adui yake.+