-
Methali 8:27Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
27 Alipozitayarisha mbingu,+ nilikuwepo;
Alipouweka upeo* juu ya maji,+
-
Yeremia 5:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 ‘Je, hamniogopi mimi?’ asema Yehova,
‘Je, hampaswi kutetemeka mbele zangu?
Mimi ndiye niliyeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari,
Sheria inayodumu isiyoweza kukiukwa na bahari.
Ingawa mawimbi yake yanasukasuka, hayawezi kushinda;
Ingawa yananguruma, bado hayawezi kuvuka.+
-
-
-