-
Mwanzo 18:17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 Yehova akasema: “Kwa nini nimfiche Abrahamu jambo ninalokusudia kufanya?+
-
-
Mwanzo 18:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Kwa maana sasa nimemjua ili awaamuru watoto wake na nyumba yake baada yake kushika njia ya Yehova kwa kutenda yaliyo sawa na ya haki,+ ili Yehova atimize mambo aliyoahidi kumhusu Abrahamu.”
-