Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 2:8
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 8 Na Ayubu akachukua kigae na kukitumia kujikuna, naye aliketi kwenye majivu.+

  • Ayubu 2:13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 13 Kisha wakaketi ardhini pamoja naye kwa siku saba, mchana na usiku. Hakuna yeyote kati yao aliyemwambia neno lolote kwa sababu waliona kwamba alikuwa na maumivu makali sana.+

  • Ayubu 7:4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  4 Ninapolala mimi huuliza, ‘Nitaamka wakati gani?’+

      Lakini kadiri usiku unavyojikokota, ndivyo ninavyogaagaa hadi alfajiri.*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki