2 Samweli 4:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Hata hivyo, Daudi akamjibu hivi Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyeniokoa* kutoka katika taabu zote,+ Zaburi 34:19 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Zaburi 37:39 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 39 Wokovu wa watu waadilifu unatoka kwa Yehova;+Yeye ndiye ngome yao wakati wa taabu.+
9 Hata hivyo, Daudi akamjibu hivi Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyeniokoa* kutoka katika taabu zote,+