Zaburi 5:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Utawaangamiza wale wanaosema uwongo.+ Yehova anawachukia kabisa watu wakatili na wadanganyifu.*+ Methali 10:27 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 27 Kumwogopa Yehova hurefusha maisha,+Lakini miaka ya waovu itafupishwa.+