-
Zaburi 108:2-5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Amka, Ee kinanda; nawe pia, Ee kinubi.+
Nitayaamsha mapambazuko.
3 Nitakusifu miongoni mwa mataifa, Ee Yehova,
Nami nitakuimbia sifa* miongoni mwa mataifa.
4 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkubwa, uko juu kama mbingu,+
Na uaminifu wako, unafika mpaka angani.
5 Ukwezwe juu ya mbingu, Ee Mungu;
Utukufu wako na uwe juu ya dunia yote.+
-