Zaburi 18:50 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 50 Yeye hutenda matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake;*+Humtendea mtiwa-mafuta wake kwa upendo mshikamanifu,+Kwa Daudi na kwa uzao wake* milele.+ Zaburi 21:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 21 Ee Yehova, mfalme hushangilia kwa sababu ya nguvu zako;+Jinsi anavyoshangilia sana kwa sababu ya matendo yako ya wokovu!+ Zaburi 21:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Alikuomba uhai, nawe ukampa,+Maisha marefu,* milele na milele.
50 Yeye hutenda matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake;*+Humtendea mtiwa-mafuta wake kwa upendo mshikamanifu,+Kwa Daudi na kwa uzao wake* milele.+
21 Ee Yehova, mfalme hushangilia kwa sababu ya nguvu zako;+Jinsi anavyoshangilia sana kwa sababu ya matendo yako ya wokovu!+