-
Zaburi 98:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Mbele za Yehova, kwa maana anakuja* kuihukumu dunia.
-
-
Waroma 2:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Lakini kulingana na ukaidi wako na moyo wako usiotubu, unajiwekea akiba ya ghadhabu katika siku ya ghadhabu na ya kufunuliwa kwa hukumu ya uadilifu ya Mungu.+
-