Mambo ya Walawi 26:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 nitawaletea mvua katika majira yanayofaa,+ nayo nchi itazaa kwa wingi,+ na miti ya matunda itazaa matunda mengi. Zaburi 85:12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Naam, Yehova atatoa kilicho chema,*+Na nchi yetu itazaa mavuno yake.+ Isaya 30:23 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Ezekieli 34:27 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 27 Miti ya shambani itazaa matunda yake, na udongo utatoa mazao yake,+ nao wataishi kwa usalama nchini. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapozivunja nira zao+ na kuwaokoa kutoka mikononi mwa wale waliowafanya kuwa watumwa.
4 nitawaletea mvua katika majira yanayofaa,+ nayo nchi itazaa kwa wingi,+ na miti ya matunda itazaa matunda mengi.
27 Miti ya shambani itazaa matunda yake, na udongo utatoa mazao yake,+ nao wataishi kwa usalama nchini. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapozivunja nira zao+ na kuwaokoa kutoka mikononi mwa wale waliowafanya kuwa watumwa.