-
Hesabu 10:35Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
35 Kila mara Sanduku hilo lilipoanza kusafirishwa, Musa alisema: “Inuka, Ee Yehova,+ acha maadui wako watawanyike, na wale wanaokuchukia wakimbie kutoka mbele zako.”
-
-
Zaburi 21:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Mkono wako utawapata maadui wako wote;
Mkono wako wa kuume utawapata wale wanaokuchukia.
-