-
Zaburi 7:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Mtazame yule aliye na mimba ya uovu;
Hutunga mimba ya matatizo na kuzaa uwongo.+
-
-
Zaburi 7:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Matatizo anayosababisha yatarudi juu ya kichwa chake mwenyewe;+
Ukatili wake utaanguka juu ya utosi wa kichwa chake.
-
-
Zaburi 37:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Usikasirishwe na mtu
Anayefanikiwa kutekeleza njama zake.+
-
-
Methali 5:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Mwovu hunaswa na makosa yake mwenyewe,
Naye atashikwa na kamba za dhambi yake mwenyewe.+
-
-
Methali 26:27Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
27 Anayechimba shimo ataanguka ndani yake,
Na yeyote anayebingirisha jiwe—litamrudia.+
-