-
Hesabu 31:27Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
27 Gaweni nyara hizo katika mafungu mawili, ili wanajeshi walioenda vitani wapate fungu moja na Waisraeli wengine fungu lingine.+
-
-
1 Samweli 30:23-25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 Hata hivyo, Daudi akasema: “Msifanye hivyo ndugu zangu kuhusiana na vitu ambavyo Yehova ametupatia. Alitulinda na kulitia mikononi mwetu kundi la wavamizi lililokuja kutuvamia.+ 24 Ni nani atakayekubaliana nanyi katika jambo hili? Fungu la yule aliyeshuka kwenda vitani litakuwa sawa na fungu la yule aliyeketi kando ya mizigo.+ Wote watapata fungu lilelile.”+ 25 Na kuanzia siku hiyo na kuendelea, akalifanya jambo hilo kuwa sheria na amri katika Israeli mpaka leo hii.
-