-
Kutoka 19:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 Basi Musa akamwambia Yehova: “Watu hawawezi kuukaribia Mlima Sinai kwa sababu tayari ulituonya, uliponiambia, ‘Weka mipaka kuzunguka mlima huu, ili uwe mtakatifu.’”+
-
-
Kumbukumbu la Torati 33:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Alisema hivi:
“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+
Naye akawaangazia kutoka Seiri.
-