Kutoka 15:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Zaburi 86:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Hakuna yeyote aliye kama wewe kati ya miungu, Ee Yehova,+Hakuna kazi zilizo kama kazi zako.+ Zaburi 89:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Kwa maana ni nani mbinguni anayeweza kulinganishwa na Yehova?+ Ni nani miongoni mwa wana wa Mungu+ aliye kama Yehova? Yeremia 10:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Ni nani asiyepaswa kukuogopa, Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana ni jambo linalofaa;Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,Hakuna yeyote yule aliye kama wewe.+
6 Kwa maana ni nani mbinguni anayeweza kulinganishwa na Yehova?+ Ni nani miongoni mwa wana wa Mungu+ aliye kama Yehova?
7 Ni nani asiyepaswa kukuogopa, Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana ni jambo linalofaa;Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,Hakuna yeyote yule aliye kama wewe.+