-
Zaburi 2:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Niombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako
Na miisho ya dunia kuwa miliki yako.+
-
-
Zekaria 9:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Nitaondoa gari la vita Efraimu
Na farasi kutoka Yerusalemu.
Upinde wa vita utachukuliwa.
-