-
Zaburi 89:50, 51Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
50 Kumbuka, Ee Yehova, dhihaka ambazo watumishi wako wanavurumishiwa;
Jinsi ninavyolazimika kuvumilia* dhihaka za mataifa yote;
51 Jinsi ambavyo maadui wako wamevurumisha matusi, Ee Yehova;
Jinsi ambavyo wameitukana kila hatua ya mtiwa-mafuta wako.
-
-
Isaya 52:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 “Basi nifanye nini hapa?” auliza Yehova.
“Kwa maana watu wangu walichukuliwa bila malipo.
-