1 Samweli 2:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Yehova humfanya mtu awe maskini, naye hutajirisha;+Hushusha, naye hukweza.+ Danieli 2:21 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 21 Yeye hubadili nyakati na majira,+Huwaondoa wafalme na kuwaweka wafalme,+Huwapa hekima walio na hekima na kuwapa ujuzi wale walio na utambuzi.+ Danieli 4:17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Luka 1:52 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 52 Amewashusha watu wenye nguvu kutoka kwenye viti vya ufalme+ na kuwainua watu wa hali ya chini;+
21 Yeye hubadili nyakati na majira,+Huwaondoa wafalme na kuwaweka wafalme,+Huwapa hekima walio na hekima na kuwapa ujuzi wale walio na utambuzi.+