-
2 Mambo ya Nyakati 20:29Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
29 Na falme zote za nchi mbalimbali ziliposikia kwamba Yehova alikuwa amepigana na maadui wa Israeli zilishikwa na hofu ya Mungu.+
-
-
Zaburi 2:4, 5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Yule anayeketi kwenye kiti cha ufalme mbinguni atacheka;
Yehova atawadhihaki.
5 Wakati huo ataongea nao kwa hasira yake
Na kuwatisha kwa hasira yake inayowaka,
-