-
Methali 16:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Yehova amefanya kila kitu kitimize kusudi lake,
Hata waovu kwa ajili ya siku ya msiba.+
-
-
Danieli 3:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Ndipo Nebukadneza akawakasirikia vikali Shadraki, Meshaki, na Abednego hivi kwamba sura yake ikabadilika * kuwaelekea, akaagiza tanuru liongezwe moto mara saba kuliko kawaida.
-