-
Zaburi 34:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia.
Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+
-
-
Methali 15:29Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
29 Yehova yuko mbali sana na waovu,
Lakini huisikia sala ya waadilifu.+
-