-
Yoshua 3:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 maji yanayotoka upande wa juu yakaacha kutiririka. Yakasimama tuli kama bwawa* mbali sana huko Adamu, jiji lililo karibu na Sarethani, na yale yanayoshuka kwenye Bahari ya Araba, yaani, Bahari ya Chumvi, yakakauka. Yalisimamishwa, na watu wakavuka kuelekea Yeriko.
-