Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 9 “Ila tu muwe waangalifu na kujihadhari sana, ili msisahau mambo ambayo macho yenu yameona na ili yasiondoke moyoni mwenu siku zote za maisha yenu. Ni lazima pia muwaambie wana wenu na wajukuu wenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 6:6, 7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Kumbukumbu la Torati 6:21
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa wa Farao kule Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu.

  • Kumbukumbu la Torati 11:18, 19
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 18 “Ni lazima uyakazie maneno haya yangu katika moyo wako na nafsi* yako na kuyafunga kama kumbukumbu kwenye mkono wako, nayo yanapaswa kuwa kama utepe kwenye paji la uso wako.*+ 19 Wafundishe watoto wako maneno haya, na kuongea kuyahusu unapoketi nyumbani mwako na unapotembea barabarani na unapolala na unapoamka.+

  • Yoshua 4:6, 7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 6 ili yawe ishara kwenu. Ikiwa watoto* wenu watawauliza wakati ujao, ‘Mawe haya ni ya nini?’+ 7 waambieni: ‘Sanduku la agano la Yehova lilipovushwa Yordani, maji ya Yordani yalizuiwa yasitiririke.+ Basi mawe haya yatakuwa kumbukumbu la kudumu kwa Waisraeli.’”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki