-
Kumbukumbu la Torati 4:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 “Ila tu muwe waangalifu na kujihadhari sana, ili msisahau mambo ambayo macho yenu yameona na ili yasiondoke moyoni mwenu siku zote za maisha yenu. Ni lazima pia muwaambie wana wenu na wajukuu wenu.+
-
-
Zaburi 103:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;
Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+
-