-
2 Wafalme 24:12, 13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Mfalme Yehoyakini wa Yuda akatoka nje kwenda kukutana na mfalme wa Babiloni,+ akiwa pamoja na mama yake, watumishi wake, wakuu wake, na maofisa wa makao yake;+ na mfalme wa Babiloni akamchukua mateka katika mwaka wa nane wa utawala wake.+ 13 Kisha akachukua hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme.*+ Alivikata vipandevipande vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Sulemani mfalme wa Israeli alitengeneza katika hekalu la Yehova.+ Hilo lilitendeka kama Yehova alivyokuwa ametabiri.
-
-
Zaburi 74:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Walichoma moto mahali pako patakatifu.+
Walichafua hema la ibada lenye jina lako, wakaliangusha chini.
-
-
Maombolezo 1:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Adui amechukua hazina zake zote.+
-