Yoeli 2:17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 17 Kati ya ukumbi na madhabahu+Acheni makuhani, wahudumu wa Yehova, walie na kusema: ‘Ee Yehova, wahurumie watu wako;Usifanye urithi wako uwe kitu cha kudharauliwa,Kwa kuacha mataifa yawatawale. Kwa nini mataifa yaseme: “Yuko wapi Mungu wao?”’+
17 Kati ya ukumbi na madhabahu+Acheni makuhani, wahudumu wa Yehova, walie na kusema: ‘Ee Yehova, wahurumie watu wako;Usifanye urithi wako uwe kitu cha kudharauliwa,Kwa kuacha mataifa yawatawale. Kwa nini mataifa yaseme: “Yuko wapi Mungu wao?”’+