-
Kutoka 25:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 Makerubi hao watakuwa wamenyoosha mabawa yao mawili kuelekea juu, na hivyo kukifunika kifuniko hicho kwa mabawa yao,+ nao wataelekeana. Nyuso za makerubi hao zitatazama kifuniko.
-
-
Kutoka 25:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Nitakutokea hapo na kuzungumza nawe kutoka juu ya kifuniko hicho.+ Kutoka katikati ya hao makerubi wawili walio juu ya sanduku la Ushahidi, nitakujulisha amri zote utakazowapa Waisraeli.
-